Tuesday, 11 October 2011

Kikapu kinaposhika kasi Indoor

Kantore Sandra (kushoto) wa timu ya kikapu ya Berco Stars ya Burundi  akijaribu kufunga huku 
Lucy Augustino wa Jeshi Stars akimtazama wakati wa Mashindano ya Klabu
Bingwa ya Kikapu Kanda ya Tano Afrika yanayoendelea kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa jijini
Dar es Salaam. Picha ya Odoyo Jackson wa Mwananchi.

No comments:

Post a Comment