Tuesday, 25 October 2011

Majeshi ya Kenya yasonga mpakani

Vikosi vya Jeshi la Kenya vikisonga mbele. Picha ya Daily Nation.
Majeshi ya Kenya yakienda Liboi, karibu na mpaka wa Somalia tayari kwa mapambano dhidi ya makundi ya waasi wa Somalia yakiongozwa na kikundi cha Al-Shabaab.
Tayari maguruneti mawili yameshalipuka katikati ya jiji la Nairobi na watu kadhaa kujeruhiwa huku ikiripotiwa mtu mmoja kufariki dunia.

No comments:

Post a Comment