Muuaji wa Kagera Sugar, Kenneth Asamoah. |
Mabingwa wa soka Tanzania, Yanga, wameendeleza wimbi la ushindi kwa kuilaza Kagera Sugar bao 1-0 katika mchezo kali ya Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Taifa leo.
Yanga iliyokuwa nyuma ya hasimu wao Simba kwa pointi 10, imejivuta sana na kufikisha pointi 15 na kubakisha pointi tatu kuwafikia mahasimu wao. Simba itashuka dimbani Jumapili kucheza na African Lyon kwenye Uwanja wa Taifa.
Katika mechi hiyo, bao la Yanga lilifungwa na Kenneth Asamoah.
No comments:
Post a Comment