LONDON, England
KIVUMBI cha Ligi Kuu kinaendelea leo kwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger kurudisha imani kwa mashabiki wake wakati timu yake itakaporudi nyumbani, Emirates kucheza na Bolton.
Wenger ambaye timu yake ilifungwa mabao 4-3 na Blackburn wikiend iliyopita, atakuwa na kazi ya ziada kuhakikisha timu yake inashinda mechi ya leo.
Pamoja na kuanza vibaya msimu huu ikiwa ni miaka 58, Wenger anasema timu yake iko vizuri na itashinda mchezo wa leo licha ya kusema ana wasiwasi.
"Naweza kushinda lakini nina wasiwasi," anasema Wenger, ambaye timu yake iko nyuma ya Manchester United kwa pointi 11. Arsenal iko nafasi ya 17 ikiwa na pointi nne na ingekuwa na pointi 15. Kwa, United imeshinda mechi tano ikiwemo ya Chelsea, na Arsenal, iko kileleni.
Mechi za Jumamosi Sept. 24;
Chelsea v Swansea
Liverpool v Wolves
Man City v Everton
Newcastle v Blackburn
Stoke v Man Utd
West Brom v Fulham
Wigan v Tottenham
No comments:
Post a Comment