Saturday, 24 September 2011

Maradona amtandika shabiki Arabuni

Dubai, United Arab Emirates
DIEGO Maradona, mshambuliaji wa zamani wa Argentina aliomba radhi baada ya kumpiga shabiki wa soka.
Maradona, ambaye kwa sasa anafundisha klabu ya Al Wasl ya United Arab Emirates, alimpiga shabiki aliyeingilia picha ambayo yeye Maradona aliyokuwa anapiga ya kutengeneza bango la kumsaidia mjukuu wake.
Maradona anasema “Nilipatwa na mshtuko wa mjukuu wangu aliyeko Argentina...lakini naomba radhi kwa kitendo nilichofanya."

No comments:

Post a Comment